Mwanamuziki nyota wa Bongo Flava, Omary Ally Mwanga, maarufu kama Marioo, ametangazwa rasmi kuwa Balozi wa Bahati Nasibu ya Taifa ya Tanzania. Ushirikiano huo wa kimkakati unaleta matumaini, burudani, ...
Serikali kupitia Wizara ya Fedha inatarajia kukusanya sh bilioni 100 kila mwaka kutokana na uwekezaji wa dola 20 milioni uliofanywa na kampuni ya ITHUBA Tanzania, iliyopata leseni ya miaka nane ...