Kwa wasio wenyeji wa mji wa Mwanza huwa wanapigwa na butwaa wanapoona nyumba zilizojengwa milimani na nyingine zikiwa juu au chini ya mawe makubwa. Wakazi wa mtaa wa Nyerere B jiji Mwanza wanasema ...
Wimbo huo wa Mwanza ulitolewa rasmi jana na tayari ulishavutia maelfu ya watazamaji kwenye mitandao ya kijamii. Wasanii hao wametakiwa kufuta kibao hiko katika kurasa zote ambazo walisambaza.